TANZANIA IDEAS CENTRE TANZANIA (TIC)
TEACHERS’ JUNCTION
Teachers’ Junction
Organization inyojihusisha na ajira za walimu nchini.
Tunashukuru kwa mchango wetu ambao mmeunesha tangu kuazishwa
kwake hadi hapa ilipofikia.
Kwa sasa tunawaarifu vijana wote Tanzania na nchi jirani hususani
wana jamii forum kwamba tunaanzisha TANZANIA IDEAS CENTRE (TIC).
Ambapo vijana kutoka sehemu tofauti Tanzania na
nchi jirani tutakutana na kuunganisha mawazo ya kibiashara na namna ya
kuziazisha yenye lengo la kuunganisha vitu watatu muhimu kwenye biashara:-
1)
WAZO LA BIASHARA
2)
UWEZESHAJI
3)
MTAJI
TANZANIA IDEAS CENTRE
Tunahiji Vjiana 30
kuunda uongozi wa TIC na kujadili malengo yaliyopo na walionayo.
TIC inarajia kuanza kufanya kazi rasmi mwanzoni mwa mwezi wa
Saba mwaka huu.2013.
Kwa walio tayari kujiunga na TIC sifa :
·
Awe kijana wa kiafrika
·
Elimu kuaznia kidato cha nne na kuendelea
·
Umri kuanzia miaka 25 hadi 40.
·
Mwenye mawazo pevu na busara
Mawasiliano:
TIC organizer
Mr. Njama
Phone: 0783-810857
Email: imamu.njama@yahoo.com
Facebook page: www.facebook.com/teachersjunction
Unaweza ku-like page yetu na kucha maoni
yako.
Thibisha ushiriki wako kwa kutuma
email na Cv zako kisha utajaza form za kujiunga.
Wote watakao thibisha kushiriki watashiriki
kuchagua uongozi wa TIC.
Taarifa zote zitapatikana hapa
hapa jamii forum.
HAKUNA MALI[PO KWENYE
KUJIUNGA NA TIC
VIJANA TUKIUNGANA TUNAWEZA KUTOKOMEZA
TATIZO LA AJIRA
TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA
“With TIC we can Change”
thanks mr together we can....
ReplyDelete